Everton tayari wamewasili Tanzania








KLABU ya Everton ya Uingereza tayari imewasili katika ardhi ya Tanzania tayari kwa mchezo wa kirafiki wa kesho dhidi ya Gor Mahia ya nchini  Kenya, mchezo utakaopigwa katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

Wakali hao wamewasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam mapema leo asubuhi na kupokelewa na uongozi wa wadhamini wao, SportPesa ambao ndio wamewaleta hapa nchini ambapo baada ya kuwasili wameelekea hotelini kwa ajili ya mapumziko kisha baadaye watapata fursa ya kufanya mazoezi.


Hii hapa orodha ya wachezaji na viongozi wa everton waliowasili ;

1 – Jordan Pickford
2 – Morgan Schneiderlin
3 – Leighton Baines
4 – Michael Keane
5 – Ashley Williams
6 – Phil Jagielka
7 – Yannick Bolasie
8 – Ross Barkley
9 – Sandro Ramirez
10 – Wayne Rooney
11 – Kevin Mirallas
12 - Aaron Lennon
16 – James McCarthy
17 – Idrissa Gana Gueye
18 – Gareth Barry
20 – Davy Klaassen
21 – Muhamed Besic
22 – Maarten Stekelenburg
23 – Seamus Coleman
25 – Ramiro Funes Mori
26 – Tom Davies
29 – Dominic Calvert-Lewin
30 – Mason Holgate
31 – Ademola Lookman
33 – Joel Robles
34 – Oumar Niasse
38 - Matthew Pennington
43 - Jonjoe Kenny
46 - Joe Williams
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment