Bashe Taasisi Za Dini Zina Haki Yakuikosoa Serikali

Wakati Jeshi la Polisi Tanzania kupitia kanda maalum ya Dar es salaam likitangaza kuwa lazima litamhoji Askofu na kiongozi wa kanisa la Full Gospel Bible Fellowship Zachary Kakobe kwa madai ya kutoa maneno ya kashfa kwenye mahubiri yake, wapo Wanasiasa walioguswa na taarifa hii na mmoja wapo ni Mbunge wa Nzega Mjini Hussein Bashe.
Kupitia akaunti ya twitter Mbunge Hussein Bashe ameandika ;"Kesho tutazitaka Taasisi za Dini zihamasishe amani,Maendeleo, zipongeze ni muhimu kukubali kukosolewa, Serikali haitakiwi kufanya hivi kama hazivunji sheria.
"Taasisi za Dini zina haki ya kutoa maoni yao juu ya siasa,Uchumi na maswala yote ya kijamii, viongozi wa Dini wana nafasi yao"
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment