MAKUBWAAA!!!!! Mambosasa:Walio wapiga Wananchi Ukonga Si Askari

 

Kamanda wa polisi mkoa wa Dar, Lazaro Mambosasa amesema hakuna ushahidi kuwa waliowapiga wananchi Ukonga ni askari, na ametaka mtu yeyote mwenye ushahidi aupeleke.

Ameelezea watuhumiwa hao walipokuwa wanawapiga wananchi walikuwa wamevaa 'mask' na hakuna askari polisi anayeweza kuvaa hivyo

"Hakuna ushahidi wowote, hakuna askari wa polisi anayeweza kwenda kumpiga mtu huku akiwa amevaa mask." Amesema Mambosasa

Mnamo Oktoba 22 mwaka huu watu wanaodaiwa kuwa ni askari wa kutuliza ghasia walivamia na kuwapiga wananchi wa eneo la Ukonga Mombasa mara baada ya askari mmoja kuuawa




Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment