Mama Diamond Aolewa




Mama yake na Diamond Platnumz, Bi Sanura, amethibitisha kuwa ameolewa. Kwenye mahojiano na Dizzim Online ambayo alionesha pete yake ya ndoa, Mama Dangote ameyapuuza maneno ya watu kuwa ameolewa na kijana mdogo.

“Ana udogo gani? Hana udogo yule, angekuwa mdogo asingeoa, mkubwa,” alisema. Alipoulizwa kama ana mpango wa kupata mtoto mwingine, mama huyo alisema, “Naseeb atapata mdogo wake siku yoyote, nyie hamtaki mdogo? Basi subirieni mdogo wenu wa mwisho.”

Tazama interview hiyo hapo chini:
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment