Meya Wa Ubungo Akanusha Kupigana Na Lema




Meya wa Ubungo(Chadema), Boniface Jacob ameeleza kilichotokea kati yake na Mbunge wa Arusha Mjini(Chadema), Godbless Lema baada ya taarifa kusambaa kuwa wamepigana kwenye kikao cha Kamati Kuu ya chama hicho.



Taarifa hizo zimeeleza kuwa Lema alikuwa anamtuhumu Mbunge wa Kibamba(Chadema), John Mnyika kuwasaliti na kuwa na mipango ya kuhamia CCM ndipo Jacob aliposimama na kumwambia Lema aache kumsingizia Mnyika mambo ya kipuuzi ndipo Lema alipomrushia ngumi meya huyo.
 MSIKILIZE HAPA MEYA WA UBUNGO BONIFACE JACOB AKIZUNGUMZA
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment