Diamond Ashinda Tuzo Nyingine Nigeria

Mwaka 2018 umeanza vizuri kwa nyota wa Tanzania diamond platnumz baada ya usiku wa kuamkia leo nchini Nigeria kulifanyika tuzo za Sound City MVP na kuudhuriwa na mastaa wote wa Nigeria.
Diamond alikuwa kwenye kipengele cha Best Male act Africa akichuana na nguli wengine kutoka Africa
Davido
Sarkodie
Olamide
Wizkid
Navio
Runtown
Diamond platnumz ( winner)
2face
Amekuwa msanii wa kwanza kutoka Africa mashariki kushinda tuzo hiyo
Best female Act Africa akishinda Tiwa Savage kutoka Nigeria
Hata hovyo Davido aliibuka na tuzo 3 huku Wizkid akishinda 2
Cassper Nyovest aliibuka na tuzo ya msanii bora wa Hip hop
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment