Phillipe coutinho Aendelea Na Mazoezi FC Barcelona

Kiungo mpya wa FC Barcelona, Philippe Coutinho ameendelea na mazoezi mfululizo kuhakikisha anakuwa fiti akitokea katika majeraha.
Coutinho aliyejiunga na FC Barcelona kwa kitita cha pauni million 145, ameonekana akijifua uwanjani, gym na uwanja maalum wa mchanga uliopo La Masia ambayo ni sehemu maalum ya mazoezi ya kikosi cha FC Barcelona.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment