Rais
Mstaafu wa Awamu ya Pili Mhe. Ali Hassan Mwinyi akimkabidhi Kombe la
ushindi Mchumi Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Idara ya Maendeleo ya Sekta
Binafsi, Uwekezaji na
Uwezeshaji Bw. Girson Ntimba baada ya Ofisi hiyo
kuibuka mshindi wa kwanza katika Uratibu na Usimamizi Bora wa masuala ya
Ukimwi wakati wa kilele cha Wiki ya Utumishi wa Umma tarehe 23 Juni,
2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)-
Blogger Comment
-
Facebook Comment
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
0 comments :
Post a Comment