DAVIDO KUIMBA WIMBO NA ALI KIBA

  • Written by Nkupamahmedia

Staa wa muziki kutoka Nigeria, Davido.
STAA wa muziki kutoka Nigeria, Davido ameweka wazi kuwa ana mpango wa kuimba wimbo kwa kushirikiana na Ali Kiba na mchakato unaendelea kimyakimya.(P.T)

Ali Kiba.
Davido ambaye jina lake lilipata umaarufu nchini kutokana na kushirikiana na Diamond katika Wimbo wa Number One Remix, aliweka wazi hayo wakati akipita kwenye ‘red carpet’ kwenye usiku wa Tuzo za MTV Mama, wikiendi iliyopita.

“Tanzania ni nyumbani kwangu baada ya Nigeria, napapenda tangu siku ya kwanza nilipofika, nitafanya kazi pia na Ali Kiba, naamini itakuwa bomba, watu wasubiri tu,” alisema Davido bila kufafanua zaidi.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment