MAGUFULI AKIHUTUBIA MBAGALA ZAKHEM LEO


Mteule wa Chama cha Mapinduzi 9CCM) katika kuwania Urais kwenye Uchaguzi Mkuu utakao fanyika Oktoba 25 mwaka huu, Dk John Pombe Magufuli akihutubia katika mkutano wa hadhara wa kumtambulisha kwa wananchi wa Dar es Salaam katika uwanja wa Mbagala Zakhem katika jimbo la Uchaguzi Mbagala, Wilayani Temeke leo.
Katibu Mkuu wa CCM, Abdu;lrahman Kinana (katikati) akiwa pamoja na Mgombea Urais wa Chama hicho, Dk John Pombe Magufuli na Mgombea Mwenza, Samia Suluhu Hassan wakati wa mkutano huo wa kuwatambulisho jijini Dar es salaam leo.
 
Wanachama, wafuasi na wapenzi wa Chama cha Mapinduzi wakiwa katika mkutano huo jijini Dar es Salaam leo.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment