Pata Domain yako ya .tz kwa Bei Poa

tzNIC-Post
Shirika la tzNIC ni shirika la kitanzania, linalo endeshwa na watanzania ila lisilo la kiserikali. tzNIC inakuwezesha kusajili domain ya tovuti yako ya .tz. Na hivyo basi
tzNIC kwakuwa asasi isiyo ya kutafuta faida bei zao ni ndogo sana hivyo kukuwezesha Mtanzania wa kawaida kabisa kuwa na domain ya .tz. Hivyo pale unapo taka kusajili domain ambayo inaishia na .tz hawa ndio wahusika wakuu ambao wametoa vibali kwa wasajili zaidi ya 43 ambao wako Tanzania nzima. Lengo kuu la tzNIC ni kukuza matumizi ya majina ya domain yanayo ishia na .tz pamoja na kulinda maslahi ya walio sajiliwa kwa kuwapa database ambayo ina ulinzi wa kutosha na unafuu. Zaidi sana iwapo kuna tatizo lolote la kisheria unapokuwa na domain ya .tz tatizo hilo linatatuliwa hapa hapa Tanzania na tzNIC. Sajili leo kwa kupitia wasajili walio pewa vibali na tzNIC walioko karibu na wewe kwa kubofya hapa kwa Shilingi 25,000 tuu.
Kwa maelezo zaidi, au hata kama ukitaka ku register domain yako watembele mtandanoni:
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment