Update Mpya Toka Dodoma.......Wapambe wa Lowassa Bado Wamekinukisha, Dr. Shein Kapitishwa Kugombea Urais Zanzibar na Mkutano mkuu ni saa 3 Usiku

Saturday, July 11, 2015

Nkupamah blog

Kazi ya upigaji kura inaendelea hivi sasa katika mkutano wa Halmashauri Kuu (NEC), ambapo majina matatu yatapatikana na kupelekwa katika mkutano mkuu utakaoanza majira ya saa 3:00 usiku.
Aidha, mkutano  huo  umempitisha  mh. Ali Mohamed Shein  kuwa  Mgombea  wa  Urais  kwa  upande  wa  Zanzibari.

Maandamano  nje  ya  ukumbi yanaendelea  kushinikiza  jina  la  Lowassa  Lirudishwe.
Nkupamah blog
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment