BAWACHA KUHAMASISHA WANAWAKE KUSHIRIKI UCHAGUZI MKUU


Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake wa Chadema (Bawacha), Halima Mdee akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaama juu ya uzinduzi wa kongamano la kuunganisha wanawake ili waweze kushiriki katika uchaguzi mkuu Octoba 25.
 Katibu Mkuu wa Bawacha, Grace Tendega akifafanua jambo.
Mwenyekiti wa Bawacha, Halima Mdee.
Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake wa Chadema (Bawacha), Halima Mdee akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam juu ya uzinduzi wa kongamano la kuunganisha wanawake ili waweze kushiriki katika uchaguzi mkuu Octoba 25. Kushoto ni Katibu Mkuu wa Bawacha, Grace Tendega na Makamu Mwenyekiti, Hawa Mwaifunga.
 Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake wa Chadema (Bawacha), Halima Mdee akifafanua jambo wakati wa mkutano na waandishi wa habari Makao Makuu ya Chadema Dar es Salaam, kuhusu uzinduzi wa kampeni ya wanawake kupitia kongamano litakalofanyika leo katika ukumbi wa Millenium Tower. Kushoto ni Katibu Mkuu wa Bavicha, Grace Tendega.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment