Friday, August 28, 2015
@nkupamah blog
Mkurugenzi
wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Kailima Ramadhan (kushoto),
akimkabidhi Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP), Benedict Wakulyamba
orodha ya majina 52,078 ya watu waliojiandika katika daftari la kudumu
la wapiga kura kwa mfumo wa BVR zaidi ya mara mbili Dar es Salaam jana,
kwa ajili ya uchunguzi na baadae hatua za kisheria zichukuliwe kwa
wahusika.
Picha hii ni baadhi ya watu waliojiandikisha zaidi ya mara mbili katika daftari hilo.
Picha hii ni baadhi ya watu waliojiandikisha zaidi ya mara mbili katika daftari hilo.
TUME
ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imelikabidhi jeshi la polisi orodha ya majina
ya watu zaidi ya 52,000 ambao wamebainika kujiandikisha zaidi ya mara
moja kwenye daftari la kupigia kura kwa mfumo wa Biometric Voters
Registration (BVR), akiwemo Diwani wa Kata ya Kimara, Pascal Manota
(Chadema).
Idadi
hiyo ilibainishwa Dar es Salaam jana na Mkurugenzi wa NEC, Ramadhan
Kailima wakati wa ziara na waandishi wa habari katika bohari ya
utayarishaji wa vitambulisho vya kupigia kura kwa mfumo wa BVR
0 comments :
Post a Comment