WAFANYAKAZI WA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI WAHAMASISHWA KUPIMA AFYA


 Daktari Hafidh Ameir toka Tume ya Kudhibiti Ukimwi Tanzania (TACAIDS) akitoa elimu juu ya umuhimu wa kupima afya kwa wafanyakazi wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi katika Semina iliyofanyika Makao Makuu ya Wizara hiyo jijini Dar es Salaam.
   Mfanyakazi wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Marcelina Henry akichukuliwa vipimo vya shinikizo la damu na Muuguzi toka Hospitali ya Amana jijini Dar es Salaam, Asma Msimbe wakati wa zoezi la kupima afya kwa wafanyakazi wa Wizara hiyo jijini Dar es Salaam.
   Bwana Ponela John wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi akichukuliwa vipimo vya urefu na Bwana John Joseph wa Timu ya Wataalamu waliofika Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kwa ajili ya kupima afya za wafanyakazi wa Wizara hiyo jijini Dar es Salaam.
Mfanyakazi wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Bi. Radhia Said akichukuliwa vipimo vya urefu na Bwana John Joseph wa Timu ya Wataalamu waliofika Wizara hapo kwa ajili ya kuendesha zoezi la kupima afya za wafanyakazi wa Wizara hiyo jijini Dar es Salaam.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment