Naomba Ushauri: Mchumba Wangu Anaishi na Jini na Linataka Limuoe


Mimi ni mvulana wa miaka 28, Nina mchumba wangu ambaye nimeshalipa gharama ya mahali kama robo 3 ila siku hizi nipo karibu sana na huyo mchumba wangu.

Siku moja alikuwa ananisimulia maisha yake, kitu kilichonitisha amesema yeye kuanzia 2014 anaishi na Jini subiani naikipita siku hajaswali basi usiku yule jini anamtokea na anasex na kubwa zaidi hiyo jini ndiye aliyemtoa bikra na akisex nae asubuhi anakuta mbegu ukeni.

Miezi michache iliyopita Jini alikuwa anambembeleza amuoe ila binti amekataa, sasa hii kitu mi inanitsha sana coz nahisi kama huyu jini ata nimaliza mimi coz atajua ndo sababu ya yeye kukataliwa.

Ushauri wenu coz niliplan tufunge ndoa mwezi 3 mwakani
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment