KIWANJA CHA CITY SPORTS LIONGE POSTA VCHAZINDULIWA

jo1
Mkurugenzi wa  Kampuni ya Jambo Concerpt na Gazeti la  Jambo leo Bw. Juma Pinto akiwa katika picha ya pamoja na DJ John Peter Pantalakis kushoto na DJ Masoud Masoud kwenye uzinduzi wa kiwanja cha City Sports Lounge Posta maarufu kwa kuonyesha mipira ya ligi mbalimabli za ulaya, uzinduzi huo umefanyika alhamis wiki hii na kuhudhuriwa na wageni waalikwa
mbalimbali. uzinduzi huo umefanyika kufuatia ukarabati na uboreshaji wa mambo mbalimbali katika klabu hiyo yaliyofanyika kwa muda wa mwezi mmoja.
jo2
Kutoka kulia ni Mwesa, Ally na Helman wakibadilishana mawazo huku wakishuhudia  zunduzi huo.
jo3
Chacha Maginga na wadau wenzake wakipozi kwa picha.
jo4
Wahudumu waliovalia sare nzuri wakwasikiliza  wageni waalikwa katika uzinduzi huo.
jo5
Wageni waalikwa mbalimbali walihudhuria katika uzinduzi huo
jo6
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment