Katibu
Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni Prof. Elisante Ole Gabriel wa
pili kutoka kulia akiongea na wanahabari katika maadhimisho ya siku ya
kujitolea duniani yaliyofanyika jijini Dar es Salaam leo,wa kwanza kulia
ni Afisa Mtendaji Mkuu wa Shirika lisilo la Kiserikali la Volountary
Overseas (VSO) Dkt. Philip Goodwin.
Katibu
Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Elisante Ole
Gabriel akiongea na vijana wanaojishughulisha na shughuli mbalimbali za
kujitolea katika taasisi mbalimbali wakati wa
maadhimisho ya siku ya
kujitolea duniani yaliyofanyika jijini Dar es Salaam leo.
0 comments :
Post a Comment