MAJALIWA AKABIDHI MSAADA WA PIKIPIKI NA PUMPU ZA MAJI

pu1
Waziri  Mkuu, Kassim Majaliwa  akisalimiana na  maofisa wa jeshi la Polisi wakati alipotembelea kituo kikuu cha polisi zcha wilaya ya Ruangwa kusalimana na Askari Desemaba 23, 2015. Wapili
kushoto ni mkewe Mary na watatu kushoto ni Kamanda wa Polisi wa mkoa wa Lindi, Renata  Mzinga. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
pu2
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimkabidhi  Bw.Bakari Amir pampu  mbili za kusukuma maji na mipira yake, Mwenyekiti wa kikundi cha kufyatua matofali ya kuchoma cha Jitumecha kilichopo eneo la Gogovivu wilayani Ruangwa  Desemba 23, 2015.  Pampu hizo zitawapunguzia wnakikundi mzigo wa kubeba maji toka mtoni. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
pu3
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimkabidhi funguo na kadi ya pikipiki Mwenyekiti wa kikundi cha Bodaboda Camp cha kijiji cha Nandagara, Amani Chitonaga ambayo ameikipatia kikundi hicho  Desemba 23, 2015 ili kiweze kukuza mtaji wake. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
pu4
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimkabidhi funguo na kadi ya pikipiki Mwenyekiti wa kikundi cha Bodaboda Mkowe cha kijiji cha Nandagara, Yahya Chitanda ambayo ameikipatia kikundi hicho  Desemba 23, 2015 ili kiweze kukuza mtaji wake. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
pu5
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment