MAJALIWA ATEMBELEA WAPIGAKURA WAKE, AZUNGUMZA NA MADIWANI WA RUANGWA

x35
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akizungumza  na  Wazee wa kijiji cha Mbekenyera  wilayani  Ruangwa  wakati alipokwenda nyumbani kwa Bw. Issa Mohamed kutoa pole kufuatia kifo cha mwanafamilia  hiyo, Shari Malanda, Desemba 22, 2015.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
x36
Waziri Mkuu, Kassim Majliwa akizungumza na Mzee  Mohammed Chingwele (katikati) na mwanae  Issa Mohammed (kulia) wakati alipokwenda nyumbani kwao katika kijiji cha Mbekenyera wilayani Ruangwa kuwapa pole kwa kifo cha mwanafamilia Shari Maranda, Desemba 22, 2015.
x37
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akizungumza na madiwani wa Halmashauri ya  Wilaya ya Ruangwa kwenye ukumbi wa Chama cha Walimu cha Wilaya ya Ruangwa Desemba 22, 2015. Kulia ni Mwenyeikiti wa  CCM wa Mkoa wa Lindi  Ali Mohammed  Mtopa na kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Lindi Jordan Lugimbana.
x38
Baadhi ya watendaji wa Halmashauri ya Wilaya  ya Ruangwa na Madiwani  wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kasim Majliwa wakati alipozungumza nao kwenye ukumbi wa Chama cha Walimu cha wilaya ya Ruangwa Desemba 22, 2015.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment