Nkupamah media
Watu wapatao 30 wameokolewa mpaka sasa baada ya kivuko cha mto Kilombero kushindwa kuhimili upepo mkali ulioambatana na mvua ya radi na kukifanya kigonge nguzo za pembeni ya mto na kukosa mwelekeo hivyo kupinduka ndani ya maji jana usiku.
Kivuko hicho kilikuwa na watu 31 ambapo mpaka sasa mtu mmoja bado hajapatikana.
Kivuko hicho kilikuwa na watu 31 ambapo mpaka sasa mtu mmoja bado hajapatikana.
0 comments :
Post a Comment