WAFANYAKAZI WA TBL WAPIMA AFYA ZAO NA KUFANYA MAZOEZI YA VIUNGO

Nkupamah media:

tb1
Mkurugenzi Mtendaji wa TBL Group, Roberto Jarrin.(Kulia) akimsikiliza mtaalamu wa mazoezi kutoka Kituo cha Fitness Centre, Payas Moremi (kushoto) jinsi ya kufanya mazoezi wakati wa Siku ya Afya kwanza  kwa wafanyakazi wa kampuni ya bia Tanzania, yaliyofanyika jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki .katikati ni Afisa Mwandamizi wa TBL Oscar Shelukindo.

tb2
Mkurugenzi Mtendaji wa TBL GROUP Roberto Jarrin. Akishiriki mazoezi pamoja na wafanyakazi wenzake wakati wa  siku ya Afya kwanza yaliyofanyika kaitika viwanja vilivyopo eneo la kiwanda hicho  jijini Dar es Salaam,
tb6
Baadhi ya wafanyakazi wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) wakiwekea alama za kupimwa afya zao  wakati wa maadhimisho ya  siku upimaji wa Afya , yaliyombatana na mazoezi  kwa wafanyakzi wote  wa kampuni hiyo yaliyofanyika  jijini Dar es Salaam.
tb7
Baadhi ya wafanyakazi wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) wakiwekea alama za kupimwa afya zao  wakati wa maadhimisho ya  siku upimaji wa Afya , yaliyombatana na mazoezi  kwa wafanyakzi wote  wa kampuni hiyo yaliyofanyika  jijini Dar es Salaam.
tb8
Wafanyakazi wa kampuni ya bia Tanzania (TBL) wakishiriki katika mazoezi ya viungo wakati wa Maadhimisho ya siku ya Afya Kwanza yaliyofanyika jijini Dar es Salaam.
tb9tb11tb12
Waandaaji wa maadhimsho ya siku ya Afya kwanza kwa wafanyakazi wa TBL Tanzania  wakiwa katika picha ya pamoja,
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment