Wanamuziki wajitokeza kwa wingi kumzika gwiji Kassim Mapili

Nkupamah media:
 Mwanahabari nguli Hemedi Kimwanga (kushoto waliosimama) akipeana pole na wanamuziki mbalimbali wakongwe wakati wa msiba wa Mzee Kassim Mapili Magomeni Mapipa jijini Dar es salaam leo

 Wanamuziki nyota wa kike walijitokeza kwa wingi katika msiba huu. Hapo kuna Nyota Abdallah, Anna Mwaole, Kida Waziri, Lwiza Mbuttu, Asha Salvador na wengineo wengi
 Kanku Kelly na Papaa Juma Mbizo wakimuaga Kassim Mapili
Banana Zorro, Ben Kinyaia, Mrisho Mpoto na mdau wa muziki 
 Mzee Makassy na wakongwe wenzie walikuwepo
 Kanku Kelly na Delphine Munumba wakiongea na kaka Emmanuel Mpangala msibani
 Mwakilishi kutoka Wiziri wa Habari, Utamaduni,Sanaa na Michezo akitoa rambirambi za serikali 
 Waziri wa Habari, Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe.Nape Nnauye akimfariji mtoto wa marehemu
  Waziri wa Habari, Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe.Nape Nnauye akimfariji mtoto wa marehemu
  Waziri wa Habari, Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe.Nape Nnauye akimfariji mtoto wa marehemu
  Waziri wa Habari, Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe.Nape Nnauye akipeana mikono na mwanamuziki mkongwe Mjusi Semboja huku akiongea na Mzee Makassy na wanamuziki wengine
 Waziri wa Habari, Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe.Nape Nnauye akiongea na mchambuzi wa muziki wa dansi mahiri Zomboko na mdau wa muziki Hassan
Share on Google Plus

About Mng'atuzi blog

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment