WAZIRI NAPE AONGEA NA VIONGOZI WA COSOTA NA MKURUGENZI MKUU WA COPYRIGHT MANAGEMENT EAST AFICA BW. PAUL MATTHYSSE

nkupamah media:

np1

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo  Mhe. Nape  Nnauye akiongea na viongozi wa COSOTA na  wa  Kampuni ya  Copyright  Management  Eas t  Africa kuhusu mfumo wa ukusanyaji wa mirahaba utakavyokuwa unafanya kazi. .(Picha na Benjamin Sawe- WHUSM)
np2
 Mkuu wa uendeshaji wa Kampuni ya  Copyright  Management  Eas t  Africa  Bw. Abdi Zagar aliesimama akimuelekeza  Mhe.  Waziri wa Habari , Utamaduni, Sanaa na Michezo Mh. Nape Nnauye jinsi mfumo wa ukusanyaji wa mirahaba utakavyokuwa unafanya kazi, kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa  Kampuni ya  Copyright  Management  Eas t  Africa Bw. Paul Matthysse  .(Picha na Benjamin Sawe- WHUSM)
np3
: Mkurugenzi Mtendaji wa  Kampuni ya  Copyright  Management  Eas t  Africa Bw. Paul Matthysse  kulia akimuelekeza Waziri wa Habari , Utamaduni, Sanaa na Michezo Mh. Nape Nnauye jinsi mfumo wa ukusanyaji wa mirahaba utakavyokuwa unafanya kazi.(Picha na Benjamin Sawe- WHUSM)
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment