WAZIRI WA UJENZI, UCHUKUZI NA MAWASILIANO AZUNGUMZA NA WADAU WA SEKTA BINAFSI LEO MCHANA WIZARANI

Nkupamah media:

ME1
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Prof. Makame Mbarawa (kushoto), akimsikiliza Mwenyekiti wa Bodi ya Taasisi ya Sekta Binafsi nchini (TPSF), Bw. Reginald Mengi (kulia), wakati akisisitiza jambo katika mkutano na  wadau wa Sekta Binafsi uliofanyika Wizarani hapo jijini Dar es Salaam.

ME2
Mdau wa sekta binafsi, Bw. Otieno Igogo (mwenye koti la mistari),  akisisitiza jambo wakati wa Mkutano uliowakutanisha wadau wa sekta binafsi na Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Prof. Makame Mbarawa.
ME3
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Prof. Makame Mbarawa  akimsikiliza kwa makini Rais wa Wakala wa Forodha ya Tanzania (TAFFA), Bw. Steven Ngatunga wakati wa Mkutano wa Waziri huyo na Wadau wa sekta binafsi.
ME4
Wadau wa sekta binafsi wakijadiliana jambo na Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Prof. Makame Mbarawa katika mkutano wao uliofanyika jijini Dar es Salaam leo.
ME5
Mdau wa sekta binafsi Bw. Felix Mosha (wa kwanza kulia) akifafanua jambo katika mkutano wa wadau hao. (Kushoto) ni Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Prof. Makame Mbarawa na katikati niMwenyekiti wa Bodi ya Taasisi ya Sekta Binafsi nchini (TPSF), Bw. Reginald Mengi.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment