Picha: Wafuasi wa CHADEMA Wafurika Mahakamani Kufuatilia Kesi ya Ezekiel Wenje ...Polisi Walazimika kutumia nguvu ya ziada kuimarisha ulinzi


Mamia ya wafuasi wa CHADEMA  wakiongozwa  na  Mwenyekiti  wao Freeman Mbowe leo  wamefurika mahakama  kuu  jijini  Mwanza katika kesi ya  mbunge wa zamani wa Nyamagana, Ezekiel Wenje (CHADEMA)  anayepinga  matokeo  ya  Stanslaus Mabula (CCM). 


Polisi  wametumia  nguvu  ya  ziada  kuhakikisha  ulinzi  unaimarika  mahakamani  hapo
Ezekia Wenje akiwa  Mahakamani
Mbunge wa Nyamagana Staslaus Mabula akiwa mahakamani
Ezekiel Wenje akisubiri kutoa ushahidi
Freeman Mbowe na  Ezekiel Wenje wakiwa mahakamani
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment