NKupamah media:
Kiungo mshambuliaji wa City, Ramadhani Chombo Redondo amesema mchezo wa ligi kuu ya soka Tanzania dhidi ya Simba uliopangwa kuchezwa jumapili hii kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar utakuwa mgumu kutokana na mazingira ya timu zote mbili.
Akizungumza na mbeyacityfc.com mapema leo, Chombo amesema kuwa City inakwenda Dar kucheza mchezo huo ikiwa na kumbukumbu ya kupoteza mchezo wa uliopita kama ilivyo kwa simba, jambo ambalo linaufanya mchezo huo kuwa mgumu kutokana na uhitaji wa matokeo kwa timu zote.
0 comments :
Post a Comment