MCHEZO MGUMU, MBEYA CITY INANAFASI: REDONDO

NKupamah media:

DSC_0136
Kiungo mshambuliaji wa City, Ramadhani Chombo Redondo amesema  mchezo wa ligi kuu ya soka Tanzania dhidi ya Simba uliopangwa kuchezwa jumapili hii kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar utakuwa mgumu kutokana na mazingira ya timu zote mbili.
Akizungumza  na mbeyacityfc.com mapema leo, Chombo amesema kuwa City inakwenda Dar kucheza mchezo huo ikiwa na kumbukumbu ya kupoteza mchezo wa uliopita kama ilivyo kwa simba, jambo ambalo linaufanya mchezo huo kuwa mgumu kutokana na uhitaji wa matokeo kwa timu zote.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment