Sudan: Maelfu wamzika kiongozi wa upinzani

  • Nkupamah media:
Image copyrightAFP
Image captionHassan al Turabi alikuwa mwandani wa Omar el Bashir kabla ya kugombana
Maelfu ya watu wamehudhuria mazishi ya kiongozi mashuhuri wa kisiasa Hassan AlTurab aliyefariki jumamosi akiwa na umri wa miaka themanini na nne.
Maafisa wakuu wa serikali walikua miongoni wa watu walio hudhuria mazishi hayo yaliofanyika mjini Khartuom.
Hassan AlTurabi alikua rafiki mkuu wa Raisi Omar albashir lakini baadaye alifungwa miaka mingi jela, baada ya wawili hao kuzozana.
Image copyrightAFP
Image captionHassan al Turabi alikuwa kiongozi wa upinzani
Hassan AlTurabi alichangia pakubwa katika kuimarishwa kwa sera za maadili ya kiislamu nchni sudan.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment