Basi la Mwendo Kasi Lagonga na Kuua Mtoto Jijini Dar es Salaam

Basi la mwendo kasi ( DART)  limemgonga na kumuua mtoto huku mama yake akinusurika baada ya pikipiki waliyokuwa wamepanda kushindwa kulipita basi hilo

Ajali hiyo imetoke tarehe 19/05/2016 katika  eneo la Shekilango jijini Dar es Sallam.
Pikipiki iliyohusika kwenye ajali hiyo
==
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment