Kama ulikosa mijadala ya Bunge leo, basi tazama hapa (Video)



SIMU.TV Mhe.Dt. Mary Nagu aililia seriakli juu ya upungufu wa watumishi wa afya pamoja na vifaa tiba katika wilaya ya Hanang;https://youtu.be/8ZQT49yw0FA  
SIMU.TV:  Mbunge wa Korogwe mjini Mhe.Chatanda aihoji serikali juu ya kuunganisha mji wa Korogwe na viunga vyake katika gridi ya taifa; https://youtu.be/z2OyEg4tUEI
SIMU.TV:  Mhe.Makilagi aibana wizara ya fedha juu ya ucheleweshaji wa fedha za miradi ya maendeleo kutotolewa kwa wakati kwa wananchi; https://youtu.be/tQ1WcogiiaA
SIMU.TV:  Mh. Jafo akijibu swali la Mbunge wa viti maalum Mhe.Kemilembe kuhusiana na ununuzi wa vifaa tiba katika hospitali ya Sekouture; https://youtu.be/5l2Ap4eA-_0
SIMU.TV:  Mh.Marwa mbunge wa Serengeti asimamia kidete ujenzi wa miundombinu katika hifadhi ya mbuga ya Serengeti;https://youtu.be/PkDZYsnM3dU 
SIMU.TV:  Mhe. Masala aitaka serikali kueleza hatma ya tafiti za madini zinazofanywa na makampuni tofautitofauti wilayani Nachingwea;https://youtu.be/dMMtGhHpCvM  
SIMU.TV Mh.Ester Matiko aitaka serikali kutoa maelezo ya kina juu ya wananchi wa kata za Tarime ambao hawakulipwa fidia za ardhi yao; https://youtu.be/edcSd-IKYZE
SIMU.TV:  Suala la wananchi wanaougua ugonjwa wa saratani kuchelewa kupatiwa huduma katika hospitali ya Ocean Road laibuliwa bungeni; https://youtu.be/SlOr_OkfX3E
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment