Mshambualiaji mpya wa Manchester United, Zlatan Ibrahimovic kwa mara ya kwanza ameungana na wachezaji wenzake wa klabu hiyo ya Uingereza na kufanya mazoezi kwa pamoja.
Ibrahimovic amejiunga na Manchester United akitokea PSG ya Ufaransa baada ya mkataba na timu hiyo kumalizika.
36AB3FB300000578-3712624-image-m-70_1469712311209
36AB62E300000578-3712624-image-a-116_1469713360325
36AB65F200000578-3712624-image-a-115_1469713267991 36AB66AE00000578-3712624-image-a-3_1469713581320
36AB628300000578-3712624-image-a-85_1469713049894