Siku kadhaa baada ya Spika wa Bunge, Job Ndugai kurejea kutoka katika matibabu India, mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amemtembelea nyumbani kwake kwa ajili ya kumjulia hali.

PIC4
Kiongozi wa Kambi rasmi  ya Upinzani Bungeni Mhe Freeman Mbowe akisalimiana na Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai alipomtembelea nyumbani kwake Jijini Dar es Salaam.Spika wa Bunge amerejea nchini hivi karibuni kutoka nchini India alipokwenda kwa ajili ya uchunguzi wa afya yake.
pic2
Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai akizungumza na Kiongozi wa Kambi Rasmi ya upinzani Bungeni Mhe Freeman Mbowe aliyemtembelea Nyumbani kwake Jijini Dar es Salaam.(Picha na Ofisi ya Bunge).