WAZIRI MKUU WA SINGAPORE KUACHIA MADARAKA KUTOKANA NA UGONJWA

Badaye alizungumzia tukio hilo na kumshukru kila mtu kwa kumsubiri
Waziri Mkuu wa Singapore,Lee Hsien Loong, amesema kuwa mrithi wake awe tayari kuchukua madaraka baada ya uchaguzi Mkuu ujao.
Ameyasema hayo kwa njia ya Televisheni muda mfupi baada ya kuvunjwa kwa siku ya kitaifa ya kusanyiko lililosimamishwa kwa muda.
Badaye alizungumzia tukio hilo na kumshukru kila mtu kwa kumsubiri ili aendelee na hotuba yake, na kuongeza kuwa anafahamu kuwa kila mtu aliogopa kile kitakachotokea.
Ofisi yake imesema Bwana Lee anasumbuliwa na magonjwa ya moyo na upungufu wa maji baada ya kusimama kwa muda mrefu.
CHANZO :BBC
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment