DAWA ZA MAUMIVU ZAUMIZA WENGI,ZASABABISHA VIFO VYA GHAFLA


Dawa za maumivu zimetajwa kuwa chanzo cha ongezeko la vifo vya ghafla vitokanavyo na shambulio la moyo, utafiti uliochapishwa na jarida la kitabibu la Scientist Daily la Uingereza limebainisha.Utafiti huo umebaini kwamba dawa za kupunguza maumivu kama Brufen zinaongeza uwezekano wa kusababisha kifo kwa zaidi ya asilimia 20, kutokana na shambulio la moyo ‘heart attack’.Utafiti huo unashauri kuwa ni vyema wagonjwa ambao wanaandikiwa dawa za kutuliza maumivu, wakatumia kiwango kidogo cha dozi na kujitahidi kutozitumia mara kwa mara.
Pia, utafiti huo umeonya wanaopenda kununua dawa hizo wakati wowote kwenye maduka bila kufuata ushauri wa daktari.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment