MAJALIWA ARIPOTI OFISINI DODOMA


of7
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu, Uledi Mussa baada ya kuwasili kwenye Ofisi ya Waziri Mkuu  Makao Makuu  Dodoma kuripoti Oktoba 1, 2016.  Kushoto ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Jenista Mhagama , Wapili kulia ni Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Anthony Mavunde na wapili kulia ni Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera na Uratibu,  Dkt. Hamisi Mwinyimvua. (Picha na Ofisi ya  Waziri Mkuu)
of1
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na viongozi wakuu wa Ofisi yake  baada ya kuwasili Ofisini kwake mjini Dodoma Oktoba 1, 2016. Kutoka kushoto ni  Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi na Ajira, Erick Shitindi, Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Uledi Mussa, Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera na Uratibu, Dkt. Hamisi Mwinyimvua na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Jenista Mhagama. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
of3
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitia saini Kitabu cha wageni  baada ya kuripoti Ofisini kwake mjini Dodoma  Oktoba 1, 2016.  Wengine pichani kutoka kushoto ni Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi na Ajira, Erick Shitindi, Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Uledi Mussa, Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera na Uratibu , Dkt.  Hamisi  Mwinyimvua na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Jenista Mhagama. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
of4
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Watumishi wa Ofisi ya Waziri  Mkuu, Makao Makuu, Dodoma baada ya kuwasili Ofisini hapo Oktoba 1, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
of5 of6
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Watumishi wa Ofisi ya Waziri  Mkuu, Makao Makuu, Dodoma baada ya kuwasili Ofisini hapo Oktoba 1, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
of8
Baadhi ya watumishi wa Ofisi ya Waziri Mkuu  wakimsikiliza  Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati  alipozungumza nao   Ofisini kwake,  Makuu Dodoma Oktoba 1, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
of9
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na watumishi wa Ofisi ya Waziri Mkuu, Makao Makuu, Dodoma baada ya kuwasili Ofisini hapo Oktoba 1, 2016. Wengine pichani kutoka kushoto ni,  Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi na Ajira, Eick Shitindi, Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu  Sera na Uratibu, Dkt. Hamisi  Mwinyimvua, Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Uledi Mussa , Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Jenista Mhagama na  Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Antony Mavunde. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
of10
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment