Taarifa mpya kwa wanachama wa Yanga


Yanga-maadhimio
Klabu ya Yanga inapenda kuwatangaazia wanachama wote wa Young Africans Sports Club (Yanga) kuwa patakuwa na mkutano mkuu wa dharura siku ya Jumapili ya tarehe 23/10/2016.
Wanachama wote mnaombwa kufika bila kukosa ikiwa ni kwa faida na maslahi mapana ya timu yetu.
Agenda za mkutano pamoja na mahali mkutano mkuu utakapofanyika mtajulishwa mapema kabla ya siku husika kufika.
‘YANGA DAIMA MBELE NYUMA MWIKO’
Imetolewa na uongozi – Young African Sports Club.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment