Najua shabiki wa soka la Tanzania kwa sasa unashauku ya kutaka kujua nini kitaamuliwa Jumapili ya October 23 2016 katika mkutano mkuu wa dharura wa Yanga, taarifa ikufikie kuwa baadhi ya wanachama wa Yanga wakiongozwa na mwanasheria wa zamani wa klabu hiyo Frank Chacha wamefungua kesi mahakama ya Kisutu.
“Kwenye
maombi yetu haya ya dharura katika kesi tuliyoifungua leo mahakama ya
Kisutu moja ni kuzuia mkutano mkuu wa dharura utakaofanyika Jumapili ya
tarehe 23 2016, la pili ni kuzuia utekelezaji wa mkataba kati ya kampuni
ya Yanga Yetu na bodi ya wadhamini”


0 comments :
Post a Comment