Hii Hapa AUDIO: Alichokizungumza Moses Machali baada ya kujiunga na CCM kutokea ACT Wazalendo




Baada ya kusambaa kwa taarifa ya aliyewahi kuwa Mbunge wa zamani wa Kasulu Mjini kupitia chama cha NCCR-Mageuzi ikieleza kuwa ameamua kujiunga na chama cha mapinduzi CCM, millardayo.com imempata Moses Machali na amezungumza kuhusu taarifa hiyo.
“Kimsingi ni sahihi hiyo taarifa nimeitoa mimi mwenyewe, kutokana na mwenendo wa Serikali wa awamu ya tano, kwa mtazamo wangu na kwa ufahamu wangu kwa rekodi za nyuma nimekuwa Mbunge ambaye nilikuwa nikipiga kelele sana kuhusu ubadhirifu, kubana matumizi serikalini, nikiwa kama waziri kivuli wa uchukuzi.” – 
“Sasa kwa kumuona Rais Magufuli na Waziri Mkuu Majaliwa wanafanya yale tuliyokuwa tunayataka wapinzani. Mimi nilichoamua ni kuondoka kwenye hivi vyama vya upinzani na kwa uzoefu wangu sioni siasa zinazokua. Nimeamua kung’atuka siku sio nyingi nitachukua kadi” – Moses Machali
Bonyeza Play hapa kupata taarifa kamili.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment