Sikiliza Majibu Ya ACT-WAZALENDO Baada Ya Machali Kutangaza Kujiunga Na CCM

 

Baada ya Chama cha Mapinduzi kuthibitisha kupokea taarifa kutoka kwa aliyewahi kuwa Mbunge wa Kasulu Mjini kupitia NCCR-Mageuzi na baadaye kujiunga na Chama cha ACT Wazalendo, Moses Machali kuunga mkono utendaji wa Rais Magufuli na kutangaza nia ya kujiunga na CCM, imempata msemaji wa ACT Wazalendo Abdallah Hamis ambaye ametoa majibu ya chama hicho.millardayo.com
“Tumesoma maandika ya Machali kama wengine walivyosoma na tumejitahidi kumpigia simu ili tupate uhakika wa taarifa hizo lakini amekuwa mzito kupokea Simu zetu lakini kikubwa kama ameamua kuondoka sisi tunahesimu uamuzi wake” – Afisa Habari ACT Wazalendo
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment