IVORY COAST NA TOGO NGUVU SAWA AFCON 2017

Togooooooo
Timu za Ivory Coast na Togo zimeshindwa kutambiana katika michuano ya Kombe la Mataifa barani ‘AFCON’ inayoendelea nchini Gabon baada ya kutoka sare ya bila kufungana mchezo uliochezwa kwenye uwanja wa Stade d’Oyem mjini Oyem.
Mchezo huu umechezwa majira ya saa 1:00 usiku kwa saa za Afrika Mashariki licha ya Ivory Coast kuwa na wachezaji wengi wanaocheza Ligi ya Ulaya wameshindwa kuonesha makali yao dhidi ya Mchezaji mkongwe wa Tongo Emmanuel Adebayo.
Mchezo wa pili unatarajia kuanza saa nne usiku kwa kuzikutanisha timu za DR.Congo
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment