OMAN KAMA CHINA INAMWAGA PESA ZA USAJILI YAMCHUKUA MSHAMBULIAJI WA SIMBA


fredrick-blagnon-akishangilia-bao-lake-simba_pktsin6lwqlo1qj5lni4ag2yd
Oman kama China wanamwaga pesa kama jungu na inaendelea kuwachukua wachezaji waliokuwa wanang’ara Ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara Habari inliyopo  kwenye mitandao ya kijamii ni kuhusu kuondoka kwa mshambuliaji wa Simba Frederick Blagnon ambaye anaelekea kwenye klabu ya Oman Club ya nchini Muscut.
Mshambuliaji huyo raia wa Ivory Coast hajaonekana uwanjani kwa muda mrefu kutokana na kusumbuliwa na majeruha ya muda mrefu.
Story ya kuondoka kwa Blagnon imeanzia Instagram ambapo Haji Manara amepost picha ya Blagnon inayoambatana na maelezo kwamba nyota huyo anaondoka Simba kwenda Oman Club kwa mkopo wa miezi sita.
“Frederick Blagnon aenda kwa mkopo Oman Club ya Muscut kwa majariio ni mkopo wa miezi sita,” ni ujumbe aliouandika Haji Manara afisa habari wa Simba kupitia ukurasa wake wa Instagram.
20170116_090057
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment