Aliyekua msemaji wa Yanga ambaye kwa sasa anatumikia adhabu yake aliyopewa na Shirikisho la Soka Tanzania(TFF) Ndg,Jerry Muro kwenye ukurasa wake wa instagram ameandika>> ‘Sikilizeni nyinyi…Bora hata Simba mmeshinda, maana mlivyo watata mngeweza hata vunja Muungano’.



0 comments :
Post a Comment