VIDEO: Madai yaliyoibuka ndani ya CUF kuhusu wizi wa fedha



Wakati mgogoro ndani ya chama cha wananchi CUF ukiwa haujamalizika na suala hilo kuwa bado lipo mahakamani, leo January 10 2017 Mwenyekiti wa Kamati ya Uongozi, Julius Mtatiro amekutana na waandishi wa habari na kutoa kueleza kuwa chama hicho kimeibiwa fedha za ruzuku kiasi cha Tsh Milioni 369.37.
Mtatiro ameeleza kuwa fedha hizo zilitoroshwa kutoka hazina ya serikali kuu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania January 05 2017 na kuingizwa kwenye akaunti yenye jina la The Civic United Front ambapo anasema akaunti hiyo haikuwahi kuiidhinishwa na Bodi ya wadhamini ya CUF ili ipokee ruzuku kutoka Serikali Kuu. Unaweza kubonyeza play hapa chini.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment