SERIKALI YAFUTA "FIELD" KWA WANAFUNZI WA MWAKA WA KWANZA


  Jana kumuibuka taharuki kwenye mitandao ya kijamii baada ya taarifa kutolewa na kituo cha habari cha Chennel Ten kuwa hakutakuwa na Mafunzo kwa Vitendo yaani BTP ama Field kwa wanafunzi wa mwaka wa kwanza kuanzia mwaka huu. Taarifa ambayo imetolewa na Waziri wa Elimu, Prof. Ndalichako.
Taarifa hiyo imetolewa Juzi tarehe 14 katika kipindi cha habari za saa kinachopeperushwa na Channel Ten. Sababu za kutokuwaruhusu wanafunzi wa mwaka wa kwanza kwenda field ni kile kinachosemwa kuwa ni kutokuwa na ukomavu katika taaluma yao
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment