Gumzo la Mwanamke aliyefariki kwa
madai ya kuuwa na mume wake baada ya kumpatia kachumbari iliyoharibika,
sasa leo January 23 2017 kupitia Leo Tena ya Clouds FM, Mtangazaji Geah
Habib ametuletea hekaheka hiyo. Kwenye hekaheka hiyo imeelezwa kuwa
kifo cha mama huyo kimetokea wakati mama alipokuwa anakimbia kipigo cha
mumewe alipofika karibu na mlango akandondokea jiwe na kufariki
hapohapo.
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
0 comments :
Post a Comment