Tumaini Makene ambaye ni mkuu wa idara ya habari na mawasiliano CHADEMA amesema viongozi hao wawili wamehukumiwa kwenda jela miezi nane bila faini kwa kosa la kufanya mikutano bila kibali na waliohukumiwa ni Mwenyekiti CHADEMA Lindi, Suleiman Luwongo na Katibu wa tawi la Nyamagara.


0 comments :
Post a Comment