TAZAMA VIDEO:Askofu Gwajima Afunguka Mazito Baada Ya Makonda Kumtaja Sakata La Madawa Ya Kulevya.





Gwajima:- Namuomba Rais ambadilishie Kazi Makonda, hii ya Ukuu wa Mkoa kutawala na kuongoza hata watu usiowapenda imemshinda. Sisemi amfukuze hapana nasema ambadilishie Kazi.



Gwajima : Makonda ana chuki na wivu na mimi



Gwajima : alikasirika hata niliposhuka na helkopta yangu siku ya mechi ya viongozi wa dini na wabunge dodoma.



Gwajima : nilichelewa kidogo nikaamua kupanda helkopta yangu mpaka uwanjani kabisa.



Gwajima : mimi nilicheza namba kumi Makonda namba tisa, jicho alilokuwa ananiangalia ni la chuki mpaka nikawa nashangaa.



Gwajima : hii hapa picha niko na Makonda, naibu spika na viongozi wengine tukichangia ujenzi wa taifa mbona hajanikamata hapa kama ninauza unga? .



Gwajima : Makonda alikuja kanisani kwangu na marehemu sitta na akapanda mazabauni je hakujua kama nauza unga? 



Gwajima : hili ni shambulio kwa kanisa sio kwa Gwajima



Gwajima : hili ni shambulio kwa wote walio okoka tuonekane hatufai



Gwajima : hili ni shambulio kwa maaskofu wote na wachungaji wote



Gwajima : kwa sababu Gwajima ana kanisa kubwa



Gwajima : kwa sababu Gwajima ana waumini zaidi ya elf sabini kanisani kwake na makanisa zaidi ya 400 nchi nzima.



Gwajima : nilikuwa mkali Sana kwa serikali ya awamu ya nne na kikwete



Gwajima : nilikemea sana kupotea kwa ndovu kila siku



Gwajima; Makonda anafanya hivi kwa maslahi ya Nani? .



Gwajima : Makonda anafanya hivi kufurahisha serikali iliyopita ionekana nimekomolewa.



Gwajima : Hili ni shambulio kwa Ukristo. Rais wangu mpendwa mbadilishie Kazi Makonda.



Gwajima : Makonda hajatumwa na Rais kufanya anayoyafanya



Gwajima : mimi namfahamu vizuri Rais, hawezi kumtuma Makonda kufanya hivi.



Gwajima : Makonda atavuka mipaka sasa, atakemea Polisi, atakemea jeshi, atakemea wabunge



Gwajima : Makonda atakemea mpaka waziri mkuu.



Gwajima; wenzetu wabunge wameungana kutumia sheria na kanuni zao watamuhoji.



Gwajima : sisi raia wa kawaida tusio na sheria wala kanuni za kututetea tutashtaki wapi? .



==>Msikilize Hapo Chini Akiogea
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment