Baada ya jana Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda kutangaza awamu ya pili ya sakata la dawa za kulevya huku Mfanyabiashara maarufu Yusuph Manji akiwa kwenye list, leo amefika kituo cha kati cha Polisi. Tamko lilisema siku ya Ijumaa ndio watu
hao 65 kwenye hiyo orodha watahojiwa lakini wanaweza kuwahi kabla kwa
yeyote anaetaka ambapo Yusuph Manji akaenda kituoni hapo leo saa tano
asubuhi.
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
0 comments :
Post a Comment