Tazama Video Na Picha: Askofu Gwajima Naye Kaamua Kwenda Polisi Leo Badala ya Kesho Kuitikia Wito wa Makonda



=

Askofu Josephat Gwajima mchana huu amefika katika Kituo Kikuu cha Polisi Dar es Salaam kuhojiwa baada ya kutajwa na RC Paul Makonda katika orodha ya wahusika wa dawa za kulevya.

 Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima,Mchungaji Gwajima akiwasili kituo cha polisi kati majira ya saa 7:30 mchana akiwa ameongoza na wafuasi wake,kutii agizo la Mkuu wa Mkoa Paul Makonda,ambaye watuhumiwa wote 65 aliowataja jana katika sakata la dawa za kulevya,aliwataka kufika kesho Ijumaa saa 5 asabuhi kituo cha Polisi kati kwa mahojiano zaidi.
Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima,Mchungaji Gwajima akionekana kufurahia jambo wakati akiwasili kituo cha polisi kati majira ya saa 7:30 mchana akiwa ameongoza na wafuasi wake,kutii agizo la Mkuu wa Mkoa Paul Makonda,ambaye watuhumiwa wote 65 aliowataja jana katika sakata la dawa za kulevya,aliwataka kufika kesho Ijumaa saa 5 asabuhi kituo cha Polisi kati kwa mahojiano zaidi.
Wafuasi wa Askofu Gwajima wakiwa wanawasili kituo cha Polisi kati
 Polisi wakiwatawanya wafuasi hao wa Askofu Gwajima na kuwataka  kukaa umbali wa mita 100 kutoka kituo cha Polisi
 Polisi wakiwatawanya wafuasi hao wa Askofu Gwajima na kuwataka  kukaa umbali wa mita 100 kutoka kituo cha Polisi

Tazama video hapa chini:-
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment