
Pamoja na hilo, JPM pia ameongelea ishu ya Wanakwaya wa Askofu Gwajima kwenda na kusimama nje ya kituo cha kati cha Polisi baada ya Askofu huyo kuingia kuhojiwa na Polisi kwenye sakata la dawa za kulevya. tazama hii video hapa chini kuona Rais JPM akizungumza
0 comments :
Post a Comment